Dreams kwa Nation
Niko kwa bed ndogo ya 6 by 4
Na dreams kubwa za one day sitaomba msee wa boda lift ntakuja kumiliki 4 by 4
Hizi ni dreams nimekua nazo since before
That hiii country itaamka from its dream na hio day itakua before wanifunike ndani ya 6 by 4
Dream big kuliko za Martin Luther
That hatuta important mitumba tuki export leather
That one day itafika siku ya election na after kura hiii country itakua calm ka weather
Country ya lugha mob tuishi together
Hatutakua tunaletwa pamoja December na families gather
That one day tutakua na wakimbizi less alafu wengi wetu watakua wana riadha
Job zitakua mob so hakutakua na wasee wakujaza hizo rally za wana siasa
Na mtu akikam kutugawanya na politics tutamwambia wee wacha siasa
Street hazitakua na watoto waku randa randa coz tutakua tumewapiga msasa
Hii nation tutaipeleka father,,, juuu kwa all nation kwangu Kenya ndio masa
And that's why nikiwa kwa my country always na feel niko feet kama ile jibu ya "sasa'
Dreams za one day utalala na your door open
one day utapanda kwa mat na utumie your phone windows zikiwa open
Not ati juu hakuna mtu atakua ana ku owe peni
Ni vile tutakua tume close hizo windows za wizi kwa kuweka more job oportunities open
So mtakua 24 seven mnatembea na shoes za open
Hata ikifika usiku ile midaa ya ten
Hautakua unaogopa kutolewa nduki na karao alafu unawacha sleepers kwa barabara juu ya fear na pain
Dream za day moja sugar company zitatuletea result tamu sio kutupea pressure na Kisukari
Country ina recycle chuma haita import tena misumari
Bahati ya Youth haitapatikana tu kwa Kamari
Ama ati akipata mama/baba ako na madoo ndio am marry
Kwa balot box pesa hazitatutafanya tupige kura in a hurry
Hizi ni dreams niko nazo na hiii country
Dream za one day tutaenda shule juu tunataka ku learn
Not vile tunaenda shule ndio baadae kwa life tu earn
Nikikusaidia leo kesho hauta ni geuka ikifika your turn
So hizi ndio dreams nikilala huwa on zina turn
Dreams zilianza kitambo niki buy chapo paka sai nime buy my own pan
Dream za one time Kenya itakua country number one
Na hizo country zingine tuna zi warn,
ReplyForward |
No comments:
Post a Comment